Pitio la Shule ya Huduma ya Kitheokrasi
Maswali yafuatayo yatazungumziwa katika Shule ya Huduma ya Kitheokrasi juma linaloanza Oktoba 28, 2013.
1. Inamaanisha nini kuwa na “akili ya Kristo”? (1 Kor. 2:16) [Sept. 2, w08 7/15 uku. 27 fu. 7]
2. Ni katika njia gani ‘tunaukimbia uasherati’? (1 Kor. 6:18) [Sept. 2, w08 7/15 uku. 27 fu. 9; w04 2/15 uku. 12 fu. 9]
3. Mtume Paulo alimaanisha nini aliposema kwamba wanawake wanapaswa ‘kukaa kimya kutanikoni’? (1 Kor. 14:34) [Sept. 9, w12 9/1 uku. 9, sanduku]
4. Wazee wanaweza kujifunza nini kutokana na maneno ya Paulo yanayopatikana kwenye 2 Wakorintho 1:24? [Sept. 16, w13 1/15 uku. 27 fu. 2-3]
5. Maneno yanayopatikana kwenye 2 Wakorintho 9:7 yanaweza kutupa mwongozo gani? [Sept. 23, g 5/08 uku. 21, sanduku]
6.Tunaweza kufaidika jinsi gani kwa kufuata shauri la Paulo linalopatikana kwenye Wagalatia 6:4? [Sept. 30, w12 12/15 uku. 13 fu. 18]
7.Inamaanisha nini “kuushika umoja wa roho”? (Efe. 4:3) [Okt. 7, w12 7/15 uku. 28 fu. 7]
8.Paulo alihisije kuhusu vitu ambavyo alikuwa ameacha nyuma? (Flp. 3:8) [Okt. 14, w12 3/15 uku. 27 fu. 12]
9.Shauri hili: “Na tusiendelee kulala usingizi kama wengine” linamaanisha nini? (1 The. 5:6) [Okt. 21, w12 3/15 uku. 10 fu. 4]
10.Ni katika njia gani kifo cha Yesu ni “fidia inayolingana”? (1 Tim. 2:6) [Okt. 28, w11 6/15 uku. 13 fu. 11]