Ratiba ya Juma Linaloanza Januari 6
JUMA LINALOANZA JANUARI 6
Wimbo 132 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl uku. 3 na sura ya 1, ¶1-9 (Dak. 30)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Mwanzo 1-5 (Dak. 10)
Na. 1: Mwanzo 4:1-16 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Wafuasi wa Dini ya Kweli Ni Mashahidi Watendaji Kuhusu Ufalme wa Mungu—rs uku. 66 ¶2 (Dak. 5)
Na. 3: Har-magedoni ni Nini?—td 7 A (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Wimbo125
Dak. 10: Njia za Kutoa Magazeti Katika Mwezi wa Januari. Mazungumzo. Tumia sekunde 30 hadi 60 kueleza kwa nini magazeti hayo yatawavutia watu katika eneo lenu. Halafu, kwa kutumia habari kuu ya gazeti la Mnara wa Mlinzi, waombe wasikilizaji wapendekeze swali linaloamsha upendezi ambalo watauliza na kisha watoe mapendekezo ya andiko ambalo watasoma. Fanya vivyo hivyo kuhusu gazeti la Amkeni! na wakati ukiruhusu, makala nyingine moja kutoka katika mojawapo ya magazeti hayo. Panga kuwe na onyesho la jinsi kila gazeti linavyoweza kutolewa.
Dak. 10: Mahitaji ya kutaniko.
Dak. 10: Tunajifunza Nini? Mazungumzo. Waombe wasikilizaji wasome 1 Wakorintho 9:19-23. Zungumzia jinsi simulizi hilo linavyoweza kutusaidia katika huduma yetu.
Wimbo 7 na Sala