Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • km 1/14 uku. 2
  • Ratiba ya Juma Linaloanza Januari 20

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Ratiba ya Juma Linaloanza Januari 20
  • Huduma Yetu ya Ufalme—2014
  • Vichwa vidogo
  • JUMA LINALOANZA JANUARI 20
Huduma Yetu ya Ufalme—2014
km 1/14 uku. 2

Ratiba ya Juma Linaloanza Januari 20

JUMA LINALOANZA JANUARI 20

Wimbo 34 na Sala

Funzo la Biblia la Kutaniko:

cl sura ya 1 ¶18-23, sanduku kwenye uku. 14 (Dak. 30)

Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:

Usomaji wa Biblia: Mwanzo 11-16 (Dak. 10)

Na. 1: Mwanzo 14:17–15:11 (Isizidi dak. 4)

Na. 2: Mtu Akisema, ‘Kwa Nini Unafikiri Kuna Dini Moja Tu ya Kweli?’—rs uku. 68 ¶4 (Dak. 5)

Na. 3: Tunawatambuaje Manabii wa Uwongo?—td 19A (Dak. 5)

Mkutano wa Utumishi:

Wimbo 123

Dak. 10:Tunajifunza nini? Mazungumzo. Mwombe msikilizaji mmoja au zaidi wasome Mathayo 7:6-11. Zungumzia jinsi maandiko hayo yanavyoweza kutusaidia katika huduma.

Dak. 10:Waheshimuni Wale Wanaofanya Kazi kwa Bidii Kati Yenu. (1 The. 5:12, 13) Mazungumzo yanayotegemea maswali yafuatayo: (1) Ni katika njia zipi wazee wanafanya kazi kwa bidii kutanikoni? (2) Tunawezaje kuwaonyesha wazee ufikirio kwa njia inayozidi ile ya kawaida? (3) Kwa nini wanaoongoza kutanikoni wanahitaji kutiwa moyo? (4) Tunawezaje kuwatia moyo wazee pamoja na familia zao? (5) Kuwatii wanaoongoza kutanikoni kuna faida gani kwa kutaniko na wazee?

Dak. 10:“Usiwe Mwandamani Anayenyamaza Tu.” Maswali na majibu. Waalike wasikilizaji waeleze mambo waliyojifunza kutoka kwa mwandamani waliyekuwa wakishiriki naye utumishi wa shambani.

Wimbo 93 na Sala

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki