Ratiba ya Juma Linaloanza Januari 20
JUMA LINALOANZA JANUARI 20
Wimbo 34 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 1 ¶18-23, sanduku kwenye uku. 14 (Dak. 30)
Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Mwanzo 11-16 (Dak. 10)
Na. 1: Mwanzo 14:17–15:11 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Mtu Akisema, ‘Kwa Nini Unafikiri Kuna Dini Moja Tu ya Kweli?’—rs uku. 68 ¶4 (Dak. 5)
Na. 3: Tunawatambuaje Manabii wa Uwongo?—td 19A (Dak. 5)
Mkutano wa Utumishi:
Dak. 10:Tunajifunza nini? Mazungumzo. Mwombe msikilizaji mmoja au zaidi wasome Mathayo 7:6-11. Zungumzia jinsi maandiko hayo yanavyoweza kutusaidia katika huduma.
Dak. 10:Waheshimuni Wale Wanaofanya Kazi kwa Bidii Kati Yenu. (1 The. 5:12, 13) Mazungumzo yanayotegemea maswali yafuatayo: (1) Ni katika njia zipi wazee wanafanya kazi kwa bidii kutanikoni? (2) Tunawezaje kuwaonyesha wazee ufikirio kwa njia inayozidi ile ya kawaida? (3) Kwa nini wanaoongoza kutanikoni wanahitaji kutiwa moyo? (4) Tunawezaje kuwatia moyo wazee pamoja na familia zao? (5) Kuwatii wanaoongoza kutanikoni kuna faida gani kwa kutaniko na wazee?
Dak. 10:“Usiwe Mwandamani Anayenyamaza Tu.” Maswali na majibu. Waalike wasikilizaji waeleze mambo waliyojifunza kutoka kwa mwandamani waliyekuwa wakishiriki naye utumishi wa shambani.
Wimbo 93 na Sala