Ratiba ya Juma Linaloanza Januari 27
JUMA LINALOANZA JANUARI 27
Wimbo 106 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 2 ¶1-11 (Dak. 30)
Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Mwanzo 17-20 (Dak. 10)
Na. 1: Mwanzo 17:18–18:8 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Yesu Hakwenda Mbinguni na Mwili wa Nyama—rs uku. 320 ¶2–uku. 321¶2 (Dak. 5)
Na. 3: Hakuna Moto wa Mateso—td 10A (Dak. 5)
Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Kuanzisha Funzo la Biblia Katika Jumamosi ya Kwanza. Hotuba. Taja mipango ya kutaniko kwa ajili ya utumishi, Jumamosi ya kwanza ya mwezi wa Februari, na watie moyo wote washiriki. Panga kuwe na onyesho fupi kwa kutumia mapendekezo yaliyo kwenye ukurasa wa 4.
Dak. Una Miradi Gani ya Kiroho? Mazungumzo yanayotegemea kitabu Tengenezo, ukurasa wa 117, fungu la 2, mpaka mwishoni mwa sura. Mhoji mhubiri mmoja au wawili ambao walifikia miradi yao ya utumishi wa wakati wote. Walipata kitia-moyo gani kutoka kwa wengine? Walishinda vikwazo gani? Wamepata baraka gani?
Dak. 10:“Tumia Fursa za Kuwapelekea Watu Magazeti Kuanzisha Mafunzo ya Biblia.” Maswali na majibu. Waalike wasikilizaji waeleze jinsi ambavyo mwishowe waliweza kuanzisha funzo la Biblia na mtu ambaye walikuwa wakimpelekea magazeti kwa ukawaida.
Wimbo 103 na Sala