Ratiba ya Juma Linaloanza Februari 10
JUMA LINALOANZA FEBRUARI 10
Wimbo 57 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 2 ¶21-24, sanduku kwenye uku. 24 (Dak. 30)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Mwanzo 25-28 (Dak. 10)
Na. 1: Mwanzo 25:19-34 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Wale Wote Watakaofufuliwa Kutawala Pamoja na Kristo watakuwa Kama Yeye—rs uku. 322 ¶4–uku. 323 ¶1 (Dak. 5)
Na. 3: Masimulizi ya Tajiri na Lazaro Si Uthibitisho wa Mateso ya Milele—td 10C (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 15: Tunajifunza Nini? Mazungumzo. Waombe wasikilizaji wasome Yohana 4:6-26. Zungumzia jinsi simulizi hilo linavyoweza kutusaidia katika huduma yetu.
Dak. 15: “Kuboresha Ustadi Wetu Katika Huduma—Kuandika Habari Zote Kuhusu Mtu Anayependezwa.” Mazungumzo. Mnapozungumzia mambo yaliyo kwenye kila nukta kubwa chini ya sehemu ya “Jinsi ya Kufaulu,” waombe wasikilizaji waeleze kwa nini madokezo hayo yatatusaidia.
Wimbo 98 na Sala