Ratiba ya Juma Linaloanza Mei 5
JUMA LINALOANZA MEI 5
Wimbo 33 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 6 ¶16-21, sanduku kwenye uku. 65 (Dak. 30)
Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Kutoka 23-26 (Dak. 10)
Na. 1: Kutoka 25:1-22 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Biblia Haionyeshi Popote Kwamba Adamu Aliamriwa Kushika Sabato—rs uku. 251 ¶4–uku. 252 ¶2 (Dak. 5)
Na. 3: Kurudi kwa Kristo Hutambuliwa kwa Mambo Yanayoonekana—td 17 B (Dak. 5)
Mkutano wa Utumishi:
Dak. 10: Toa Magazeti Mwezi wa Mei. Mazungumzo. Anza kwa onyesho la jinsi ya kutoa magazeti, tumia mapendekezo mawili yaliyo kwenye ukurasa huu. Halafu chunguza mapendekezo hayo kuanzia mwanzo hadi mwisho. Malizia kwa kuwatia moyo wote wayasome magazeti vizuri na wayatoe kwa shauku.
Dak. 10: Mahitaji ya kutaniko.
Dak. 10: Tulitimiza Nini? Mazungumzo. Waombe wahubiri waeleze jinsi walivyonufaika na sehemu “Kuboresha Ustadi Wetu Katika Huduma—Uwe Mwandamani Mzuri.” Waombe wasikilizaji wasimulie mambo yaliyoonwa yenye kutia moyo.
Wimbo 103 na Sala