Habari Kuu za Utumishi
Kenya: Katika mwezi wa Oktoba 2013, Kenya iliripoti kilele kipya cha mapainia wa kawaida 2,931.
Sudan Kusini: Katika mwezi wa Oktoba 2013, kulikuwa na vilele vipya vilivyoripotiwa vya vijitabu na broshua 3,440 na magazeti 10,583.
Tanzania: Katika mwezi wa Oktoba 2013, mafunzo ya Biblia 28,644 yaliongozwa.