Ratiba ya Juma Linaloanza Mei 12
JUMA LINALOANZA MEI 12
Wimbo 49 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 7 ¶1-8 (Dak. 30)
Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Kutoka 27-29 (Dak. 10)
Na. 1: Kutoka 29:19-30 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Je, Yesu Aligawanya Sheria ya Musa Katika Sehemu za “Sherehe” na “Maadili”?—rs uku. 252 ¶3–uku. 253 ¶1 (Dak. 5)
Na. 3: Lazima Wakristo Wote Watangaze Habari Njema—td 18 A (Dak. 5)
Mkutano wa Utumishi:
Dak. 15: Mataifa Yote Yatamiminika Huko. (Isa. 2:2) Wahoji wahubiri wawili, mmoja ambaye amebatizwa miaka mingi iliyopita na mwingine aliyebatizwa hivi karibuni. Ni nini kilichowavutia wajifunze kweli? Ni hali gani ngumu walizokabili? Ni jambo gani lililowavutia walipohudhuria mkutano kwa mara ya kwanza? Ni nini wanachokumbuka walipohubiri kwa mara ya kwanza? Wengine kutanikoni waliwapa msaada gani ili wafanye maendeleo ya kiroho?
Dak. 15: “Kuboresha Ustadi Wetu Katika Huduma—Kutayarisha Utangulizi Wetu.” Mazungumzo. Panga kuwe na onyesho fupi lenye sehemu mbili. Sehemu ya kwanza ionyeshe utangulizi ambao haukutayarishwa vizuri na sehemu inayofuata ionyeshe utangulizi uliotayarishwa vizuri. Kadiri wakati unavyoruhusu, tia ndani mambo yanayowahusu kutoka katika kitabu Shule ya Huduma ukurasa wa 215-219.
Wimbo 117 na Sala