Ratiba ya Juma Linaloanza Mei 19
JUMA LINALOANZA MEI 19
Wimbo 131 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 7 ¶9-17 (Dak. 30)
Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Kutoka 30-33 (Dak. 10)
Na. 1: Kutoka 32:1-14 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Amri Kumi Zilikomeshwa Pamoja na Sheria ya Musa—rs uku. 253 ¶2-3 (Dak. 5)
Na. 3: Uhitaji wa Ziara za Tena na Tena, Kuendelea Kutoa Ushahidi—td 18 B (Dak. 5)
Mkutano wa Utumishi:
Dak. 10: Kwa Nini Sisi Ni Wahudumu wa Habari Njema? Hotuba yenye kusisimua inayotegemea kitabu Tengenezo, ukurasa wa 77 hadi ukurasa wa 78, fungu la 2. Waombe wasikilizaji waeleze kwa nini wanafurahia utumishi wa shambani.
Dak. 10: Je, Unaweza Kuwa Painia Msaidizi Unapokuwa Likizo? Mazungumzo. Pitia kwa ufupi fungu la 1 kwenye ukurasa wa 113 wa kitabu Tengenezo, kuhusu matakwa kwa ajili ya mapainia wasaidizi. Waombe wale ambao wamewahi kufanya upainia msaidizi wakiwa likizo iwe ni shuleni au kazini, waeleze baraka walizofurahia. Watie moyo wote wafanye upania msaidizi wakati wa likizo.
Dak. 10: “Sitawisha Zoea la Kufika kwa Wakati.” Maswali na majibu. Unapozungumzia fungu la 4, waombe wasikilizaji waeleze jambo linalowasaidia wafike kwa wakati.
Wimbo 44 na Sala