Ratiba ya Juma Linaloanza Mei 26
JUMA LINALOANZA MEI 26
Wimbo 60 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 7 ¶18-22, sanduku kwenye uku. 75 (Dak. 30)
Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Kutoka 34-37 (Dak. 10)
Na. 1: Kutoka 34:1-16 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Kwa Nini Vizuizi Vyote vya Maadili Havikuondolewa Amri Kumi Zilipoondolewa?—rs uku. 254 ¶1-2 (Dak. 5)
Na. 3: Wakristo Wote Lazima Watoe Ushahidi Ili Wasiwe na Hatia ya Damu—td 18 C (Dak. 5)
Mkutano wa Utumishi:
Dak. 10: Kuanzisha Funzo la Biblia Katika Jumamosi ya Kwanza. Mazungumzo. Waombe wasikilizaji waeleze mambo yaliyoonwa walipokuwa wakianzisha mafunzo ya Biblia katika Jumamosi ya kwanza ya mwezi. Kwa kutumia pendekezo lililo kwenye ukurasa wa 4, panga kuwe na onyesho la jinsi funzo linavyoweza kuanzishwa katika Jumamosi ya kwanza ya mwezi wa Juni. Watie moyo wote washiriki.
Dak. 10: Kuvumilia Mateso Hutokeza Fursa Nzuri ya Kutoa Ushahidi. (Luka 21:12, 13) Mazungumzo yanayotegemea Kitabu cha Mwaka—2013 ukurasa wa 124, fungu la 1; na ukurasa wa 128, fungu la 1-2. Waombe wasikilizaji waeleze mambo waliyojifunza.
Dak. 10: Sanduku la Swali. Mazungumzo. Sehemu hii ishughulikiwe na mzee. Waombe watu wazima waeleze jinsi walivyonufaika, wazazi wao walipowafundisha Biblia kwa kina.
Wimbo 88 na Sala