Ratiba ya Juma Linaloanza Juni 2
JUMA LINALOANZA JUNI 2
Wimbo 134 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 8 ¶1-8 (Dak. 30)
Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Kutoka 38-40 (Dak. 10)
Na. 1: Kutoka 40:20-38 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Sabato Ina Umuhimu Gani kwa Wakristo?—rs uku. 254; kwa habari za karibuni zaidi: w11 7/15 uku. 28 ¶16-17 (Dak. 5)
Na. 3: Kuabudu Mababu wa Kale Ni Ubatili—td 13 A (Dak. 5)
Mkutano wa Utumishi:
Dak. 10: Toa Magazeti Mwezi wa Juni. Mazungumzo. Anza kwa onyesho la jinsi magazeti yanavyoweza kutolewa, kwa kutumia mapendekezo mawili yaliyo kwenye ukurasa huu. Kisha changanua mapendekezo hayo kuanzia mwanzo mpaka mwisho. Malizia kwa kuwatia moyo wote wasome magazeti na wawe wachangamfu wanapoyatoa.
Dak. 10: Mahitaji ya kutaniko.
Dak. 10: Tulitimiza Nini? Mazungumzo. Waombe wahubiri waeleze jinsi walivyofaidika kwa kutumia madokezo yaliyo kwenye makala “Kuboresha Ustadi Wetu Katika Huduma—Kutayarisha Utangulizi Wetu.” Waombe wasikilizaji waeleze mambo yaliyoonwa yenye kupendeza.
Wimbo 44 na Sala