Ratiba ya Juma Linaloanza Juni 9
JUMA LINALOANZA JUNI 9
Wimbo 24 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 8 ¶9-16 (Dak. 30)
Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Mambo ya Walawi 1-5 (Dak. 10)
Na. 1: Mambo ya Walawi 4:16-31 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Wale Ambao Biblia Huwataja Kuwa “Watakatifu”—rs uku. 405 ¶1–3 (Dak. 5)
Na. 3: Wanadamu Wanaweza Kuheshimiwa, Lakini wa Kuabudiwa Ni Mungu Tu—td 13B (Dak. 5)
Mkutano wa Utumishi:
Dak. 15:Je, Umejaribu Mapendekezo ya Huduma Yetu ya Ufalme? Mazungumzo. Kwa njia ya hotuba, pitia kifupi habari za hivi karibuni zilizo kwenye Huduma Yetu ya Ufalme zenye vichwa: “Mipango Mipya ya Kuhubiri Hadharani” (km 7/13), “Wasaidie Wale Ambao kwa Sasa Hawako Tayari Kujifunza Kitabu Biblia Inafundisha” (km 12/13), na “Tumia Fursa za Kuwapelekea Watu Magazeti Kuanzisha Mafunzo ya Biblia” (km 1/14). Waombe wasikilizaji waeleze jinsi walivyofaidika kwa kutumia mapendekezo hayo.
Dak. 15:“Agosti Utakuwa Mwezi wa Pekee Sana wa Utendaji!” Maswali na majibu. Ishughulikiwe na mwangalizi wa utumishi. Ikiwa inapatikana, mpe kila mhubiri trakti yenye kichwa Tutapata Wapi Majibu ya Maswali Muhimu Maishani? na uzungumzie yaliyomo. Taja mipango ya kutaniko ya kuzisambaza katika eneo.
Wimbo 107 na Sala