Ratiba ya Juma Linaloanza Juni 16
JUMA LINALOANZA JUNI 16
Wimbo 111 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 8 ¶17-24, sanduku kwenye uku. 86 (Dak. 30)
Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Mambo ya Walawi 6-9 (Dak. 10)
Na. 1: Mambo ya Walawi 8:18-30 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Sababu ya Kutoelekeza Sala kwa “Watakatifu”—rs uku. 406 ¶1-3 (Dak. 5)
Na. 3: Je, Maria Alikuwa “Mama ya Mungu”?—td 8A (Dak. 5)
Mkutano wa Utumishi:
Dak. 10: “Wakusanye Watu.” Maswali na majibu.
Dak. 10: “Mwaliko wa Pekee.” Maswali na majibu. Wape wahudhuriaji wote mialiko ikiwa inapatikana, na mzungumzie yaliyomo. Wajulishe wahubiri kampeni itaanza lini, na utaje mipango ya kutaniko ya kuisambaza katika eneo. Panga kuwe na onyesho fupi.
Dak. 10: “Dumisheni Mwenendo Wenu Ukiwa Mzuri Katikati ya Mataifa.” Maswali na majibu. Pia, mzungumzie mambo yanayofaa eneo lenu kutoka makala “Vikumbusho vya Kusanyiko la Eneo—2014” na barua kwa makutaniko yote ya Agosti 3, 2013, kuhusu kudumisha usalama tunapohudhuria programu za kiroho.
Wimbo 125 na Sala