Ratiba ya Juma Linaloanza Julai 14
JUMA LINALOANZA JULAI 14
Wimbo 1 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 10 ¶1-7 (Dak. 30)
Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Mambo ya Walawi 21-24 (Dak. 10)
Na. 1: Mambo ya Walawi 23:1-14 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Fundisho la Kwamba Mungu Atawaokoa Wanadamu Wote Si la Kimaandiko—rs uku. 415 ¶1 (Dak. 5)
Na. 3: Mke Hapaswi Kumruhusu Mume Amtenge na Mungu—td 38B (Dak. 5)
Mkutano wa Utumishi:
Dak. 10: Jitayarishe kwa Ajili ya Kampeni ya Pekee Mwezi wa Agosti. Mpe nakala moja mtu yeyote ambaye hana trakti mpya, Tutapata Wapi Majibu ya Maswali Muhimu Maishani? Ukitumia madokezo yaliyo katika ukurasa wa 4, panga kuwe na maonyesho mawili. Anza kwa onyesho la jinsi tunavyoweza kuwatolea trakti wenye nyumba wengi zaidi. Kisha, onyesho la pili liwe kuhusu jinsi tunavyoweza kumpa mwenye nyumba anayependezwa au anayetaka mazungumzo zaidi. Watie moyo wote washiriki kampeni kwa ukamili.
Dak. 5: Faidika kwa Kuyachunguza Maandiko Kila Siku. Mazungumzo. Waombe wasikilizaji waeleze ni wakati gani wao huzungumzia andiko la siku, na jinsi wanavyofaidika kwa kutumia kitabu Kuyachunguza Maandiko Kila Siku.
Dak. 15: “Kuboresha Ustadi Wetu Katika Huduma—Kuanzisha Mazungumzo ili Kutoa Ushahidi Isivyo Rasmi.” Mazungumzo. Panga kuwe na onyesho.
Wimbo 107 na Sala