Ratiba ya Juma Linaloanza Julai 21
JUMA LINALOANZA JULAI 21
Wimbo 73 na Sala
cl sura ya 10 ¶8-17 (Dak. 30)
Usomaji wa Biblia: Mambo ya Walawi 25-27 (Dak. 10)
Na. 1: Mambo ya Walawi 26:1-17 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Je, Wanadamu Wote Mwishowe Wataokolewa?—rs uku. 415 ¶2 (Dak. 5)
Na. 3: Mume Hapaswi Kumruhusu Mke Amzuie Asimtumikie Mungu—td 38C (Dak. 5)
Dak. 10: Tunaheshimiwa kwa Sababu ya Mwenendo Wetu Mzuri na Kutounga Mkono Upande Wowote. Mazungumzo yanayotegemea Kitabu cha Mwaka—2014, ukurasa wa 120 na 149. Waombe wasikilizaji waeleze mambo waliyojifunza.
Dak. 10: Je, Utafanya Upainia Msaidizi Mwezi wa Agosti? Hotuba. Wahoji wahubiri wawili au watatu, ambao wanapanga kuwa mapainia wasaidizi mwezi wa Agosti licha ya matatizo ya afya au ratiba yenye shughuli nyingi. Wanafanya marekebisho gani ili waweze kufanya upainia msaidizi? Mwombe mwangalizi wa utumishi aeleze mipango ya utumishi wa shambani katika mwezi wa Agosti.
Dak. 10: “Yehova Huona Nini Anaponitazama?” Maswali na majibu.
Wimbo 65 na Sala