Ratiba ya Juma Linaloanza Agosti 4
JUMA LINALOANZA AGOSTI 4
Wimbo 51 na Sala
cl sura ya 11 ¶1-8 (Dak. 30)
Usomaji wa Biblia: Hesabu 4-6 (Dak. 10)
Na. 1: Hesabu 4:17-33 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Je, Biblia Inasema Kwamba Watu Fulani Hawataokolewa Kamwe?—rs uku. 416 ¶2-4 (Dak. 5)
Na. 3: Ufalme wa Mungu Utaleta Maponyo ya Kimwili Yenye Kudumu —td 16B (Dak. 5)
Dak. 10: Toa Magazeti Mwezi wa Agosti. Mazungumzo. Ukitumia mapendekezo yaliyo katika ukurasa huu, onyesha jinsi magazeti yanavyoweza kutolewa tunaposhiriki kampeni ya pekee mwisho juma. Kisha waombe wasikilizaji wajibu maswali haya: Kwa nini tunapaswa kutoa magazeti mwisho juma katika mwezi wa Agosti inapofaa kufanya hivyo? Ni katika pindi gani inaweza kufaa kufanya hivyo?
Dak. 10: Mahitaji ya kutaniko.
Dak. 10: Tulitimiza Nini? Mazungumzo. Waombe wahubiri waeleze jinsi walivyofaidika kwa kutumia madokezo yaliyo kwenye makala “Kuboresha Ustadi Wetu Katika Huduma—Kuanzisha Mazungumzo ili Kutoa Ushahidi Isivyo Rasmi.” Waombe wasikilizaji waeleze mambo yaliyoonwa yenye kutia moyo.
Wimbo 75 na Sala