Ratiba ya Juma LInaloanza Agosti 18
JUMA LINALOANZA AGOSTI 18
Wimbo 78 na Sala
cl sura ya 11 ¶17-22, sanduku kwenye uku. 116 (Dak. 30)
Usomaji wa Biblia: Hesabu 10-13 (Dak. 10)
Na. 1: Hesabu 10:1-16 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Kwa Nini Lazima Imani Iwe na Matendo—rs uku. 417 ¶5–uku. 418 ¶2 (Dak. 5)
Na. 3: Kusema kwa Lugha Kulikuwa kwa Muda Mfupi Tu—td 16D (Dak. 5)
Dak. 15: “Karne Moja ya Kuutangaza Ufalme!”—Sehemu ya 1. (Fungu 1-3) Mazungumzo yanayotegemea mafungu matatu ya kwanza na kitabu Wapiga-Mbiu, ukurasa wa 259-260. Baada ya kuuliza swali la fungu la tatu, wahoji wahubiri wawili ambao ni Mashahidi wa muda mrefu. Waombe wasimulie mambo yaliyoonwa walipoanza kuhubiri.
Dak. 15: “Karne Moja ya Kuutangaza Ufalme!”—Sehemu ya 2. (Fungu 4-6) Maswali na majibu. Mnapozungumzia fungu la tano na la sita, wahoji mapainia wawili kuhusu jinsi walivyofaulu kupata nafasi ya kufanya utumishi wa wakati wote.
Wimbo 103 na Sala