Ratiba ya Juma Linaloanza Septemba 1
JUMA LINALOANZA SEPTEMBA 1
Wimbo 46 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 12 ¶9-15 (Dak. 30)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Hesabu 17-21 (Dak. 10)
Na. 1: Hesabu 17:1-13 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Tunajuaje Kwamba Kweli Kuna Ibilisi—rs uku. 269 ¶3–uku. 270 ¶3 (Dak. 5)
Na. 3: Kujiunga na Dini Nyingine Si Njia ya Mungu—td 15A (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 10: Toa Magazeti Katika Mwezi wa Septemba. Mazungumzo. Anza kwa onyesho la jinsi magazeti yanavyoweza kutolewa, kwa kutumia mapendekezo mawili yaliyo kwenye ukurasa huu. Kisha changanua mapendekezo hayo kuanzia mwanzo mpaka mwisho.
Dak. 10: Tulitimiza Nini? Mazungumzo. Waombe wahubiri waeleze jinsi walivyofaidika kwa kutumia madokezo yaliyo kwenye makala “Kuboresha Ustadi Wetu Katika Huduma—Zungumza kwa Ujasiri Kuhusu Ufalme.” Waombe waeleze mambo waliyojionea yanayoonyesha changamoto za kuzungumza kuhusu Ufalme. Waliwezaje kuzishinda changamoto hizo?
Dak. 10: Ripoti ya Kampeni Yetu ya Pekee. Hotuba itolewe na mwangalizi wa utumishi. Eleza kwa ufupi mambo makuu kutoka katika toleo hili la Huduma Yetu ya Ufalme kuhusu umuhimu wa kuendelea kuutangaza Ufalme. Kutaniko liliitikiaje mwongozo huo? Ni mambo gani yaliyotimizwa wakati wa kampeni hiyo?
Wimbo 45 na Sala