Ratiba ya Juma la Oktoba 20
JUMA LINALOANZA OKTOBA 20
Wimbo 109 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 14 ¶16-20, sanduku kwenye uku. 147 (Dak. 30)
Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Kumbukumbu la Torati 7-10 (Dak. 10)
Na. 1: Kumbukumbu la Torati 9:15-29 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Kwa Nini Mwanadamu Mkamilifu Aliweza Kutenda Dhambi—rs uku. 54 ¶3–uku. 55 ¶3 (Dak. 5)
Na. 3: Maana ya “Mwisho wa Ulimwengu”—td 30A (Dak. 5)
Mkutano wa Utumishi:
Dak. 15: “Kueleza Mambo Tunayoamini Kuhusu Mwaka wa 1914.” Mazungumzo. Waombe wasikilizaji watoe maelezo kuhusu kila swali lililoorodheshwa.
Dak. 15: Kifaa Kitakachotusaidia Kueleza Mambo Tunayoamini Kuhusu Mwaka wa 1914. Anza kwa onyesho la dakika saba la mhubiri anayetumia chati iliyo kwenye ukurasa wa 11 wa gazeti la Mnara wa Mlinzi la Novemba 1, 2014, kumsaidia mwanafunzi wake wa Biblia kuelewa jinsi unabii uliorekodiwa kwenye Danieli sura ya 4 unavyohusiana na Ufalme wa Mungu. Waombe wasikilizaji waeleze kwa nini onyesho hilo ni lenye matokeo. Malizia kwa kusoma Ufunuo 12:10, 12 na uwaombe wasikilizaji waeleze jinsi ambavyo kujua kwamba Ufalme wa Mungu ulianza kutawala mwaka wa 1914, kunatuchochea kuhubiri habari njema kwa uharaka.
Wimbo 133 na Sala