Ratiba ya Juma Linaloanza Desemba 1
JUMA LINALOANZA DESEMBA 1
Wimbo 48 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 16 ¶18-22, sanduku kwenye uku. 167 (Dak. 30)
Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Kumbukumbu la Torati 32-34 (Dak. 10)
Na. 1: Kumbukumbu la Torati 32:22-35 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Wakati wa Kifo, Nafsi Wala Roho Haiendelei Kuishi—rs uku. 223 ¶6–uku. 226 ¶1 (Dak. 5)
Na. 3: Wakristo Wote Lazima Wawe Wahudumu—td 22A (Dak. 5)
Mkutano wa Utumishi:
Dak. 10: Toa Magazeti Mwezi wa Desemba. Mazungumzo. Panga kuwe na maonyesho matatu yanayotegemea mapendekezo yaliyo kwenye ukurasa huu. Baada ya kila onyesho, waombe wasikilizaji waeleze kwa nini habari hiyo inaweza kuwavutia watu katika eneo.
Dak. 10: Mahitaji ya kutaniko.
Dak. 10: Tulitimiza Nini? Mazungumzo. Waombe wahubiri waeleze jinsi walivyofaidika kwa kutumia madokezo yaliyo kwenye makala yenye kichwa “Kuboresha Ustadi Wetu Katika Huduma—Kupendezwa na Watu Kibinafsi.” Waombe wasikilizaji waeleze mambo yaliyoonwa yenye kupendeza.
Wimbo 119 na Sala