Ratiba ya Juma Linaloanza Desemba 8
JUMA LINALOANZA DESEMBA 8
Wimbo 6 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 17 ¶1-8 (Dak. 30)
Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Yoshua 1-5 (Dak. 10)
Na. 1: Yoshua 1:1-18 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Roho Takatifu Ni Nini?—rs uku. 242 ¶2–uku. 243 ¶1 (Dak. 5)
Na. 3: Sifa za Kustahili kwa Ajili ya Huduma—td 22B (Dak. 5)
Mkutano wa Utumishi:
Kichwa cha Mwezi Huu: Toa “mambo mema” kutoka katika hazina njema tuliyokabidhiwa.—Mt. 12:35a.
Dak. 10: “Mambo Mema” Tunayotarajia Mwezi Huu. Hotuba. Zungumzia kichwa cha mwezi huu. (Mt. 12:35a) Tulipokea hazina za kiroho kutoka kwa mtu aliyetufundisha kweli. (Ona gazeti la Mnara wa Mlinzi la Aprili 1, 2002, uku. 16, fu. 5-7.) Sisi pia tunahitaji kushiriki na wengine “mambo mema” yetu. (Gal. 6:6) Amsha upendezi wa “mambo mema” tutakayopokea mwezi huu katika Mikutano ya Utumishi. Tutasaidiwa kuboresha ustadi wetu wa kufundisha na pia tutajifunza nyimbo mpya.
Dak. 20: “Kuboresha Ustadi Wetu Katika Huduma—Kuonyesha Jinsi Funzo la Biblia Linavyofanywa Kwa Kutumia Kitabu Biblia Inafundisha.” Mazungumzo. Panga kuwe na onyesho la mhubiri mwenye uzoefu au painia anayemwonyesha mwenye nyumba jinsi funzo la Biblia linavyofanywa kwa kutumia kitabu Biblia Inafundisha.
Wimbo 96 na Sala