Matangazo
◼ Toleo la machapisho la mwezi wa Desemba: Kitabu Biblia Inafundisha Nini Hasa? au mojawapo ya trakti zifuatazo: Je, Kuteseka Kutaisha?, Je, Kweli Wafu Wataishi Tena?, Ni Nani Hasa Anayeuongoza Ulimwengu?, au Ni Nini Siri ya Kuwa na Familia Yenye Furaha? Januari na Februari: Broshua Habari Njema Kutoka kwa Mungu! au mojawapo ya broshua zifuatazo zenye kurasa 32: Furahia Milele Maisha Duniani!, Je, Umeipata Barabara Inayoongoza Kwenye Uhai wa Milele?, Msikilize Mungu, Msikilize Mungu Uishi Milele, au Unaweza Kuwa Rafiki ya Mungu! Machi na Aprili: Magazeti ya Mnara wa Mlinzi na Amkeni!
◼ Ukumbusho wa mwaka wa 2016 utafanywa Jumatano, Machi 23, 2016.
◼ Kuanzia Januari 1, 2015, mpango wa makutaniko kutumia Jumamosi ya kwanza kila mwezi kuanzisha mafunzo ya Biblia utasitishwa. Badala yake, wahubiri wanaweza kutoa magazeti kama wanavyofanya katika Jumamosi nyinginezo. Tunaweza kuanzisha mafunzo ya Biblia wakati wowote kwa kutumia magazeti au machapisho mengine ya kujifunzia Biblia.