Ratiba ya Juma Linaloanza Januari 5
JUMA LINALOANZA JANUARI 5, 2015
Wimbo 113 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 18 ¶9-19 (Dak. 30)
Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Yoshua 16-20 (Dak. 8)
Na. 1: Yoshua 17:11-18 (Isizidi dak. 3)
Na. 2: Mungu ni Nani?—igw uku. 2 ¶1-3 (Dak. 5)
Na. 3: Daraka la Wazazi Wakristo kwa Watoto—td 26C (Dak. 5)
Mkutano wa Utumishi:
Kichwa cha Mwezi Huu: Toa “mambo mema” kutoka katika hazina njema tuliyokabidhiwa.—Mt. 12:35a.
Dak. 30: “Nyimbo Mpya za Ibada!” Mazungumzo. Mnapozungumzia fungu la 6, kutaniko lisikilize muziki wa piano wenye kichwa “Ufalme Umeanza Kutawala—Na Uje!” Kisha waombe wasikilizaji wasimame na kuimba wimbo huo mpya. Huenda ikafaa kuimba wimbo huo mara mbili ili kutaniko lijifunze wimbo huo mpya.
Wimbo mpya “Ufalme Umeanza Kutawala—Na Uje!” na Sala