Habari Kuu za Utumishi
Kenya: Ilipendeza sana kufikia kilele kipya cha wahubiri 27,431 na kusambaza trakti, vijitabu, na broshua zaidi ya milioni moja katika mwezi wa Agosti.
Sudan Kusini: Katika mwezi wa Agosti kulikuwa na ongezeko la utendaji na vilele vipya vya mapainia wasaidizi 169, trakti, vijitabu, na broshua 27,755, saa 30,667 na magazeti 16,853.
Sudan: Ripoti ya Agosti inaonyesha ongezeko la wahubiri kwa asilimia 26 ukilinganisha na wastani wa mwaka uliopita, na kilele kipya cha trakti, vijitabu, na broshua 8,270.
Tanzania: Kulikuwa na kilele kipya cha magazeti 201,761 yaliyosambazwa katika mwezi wa Agosti na wahubiri waliongoza mafunzo ya Biblia 32,746.