Ratiba ya Juma Linaloanza Februari 9
JUMA LINALOANZA FEBRUARI 9
Wimbo 9 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 20 ¶1-7 (Dak. 30)
Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Waamuzi 11-14 (Dak. 8)
Na. 1: Waamuzi 13:15-25 (Isizidi dak. 3)
Na. 2: Maandiko Yanasema Nini Kuhusu Ukumbusho?—td 36A (Dak. 5)
Na. 3: Je, Biblia ni Sahihi Kisayansi?—igw uku. 7 ¶1-3 (Dak. 5)
Mkutano wa Utumishi:
Kichwa cha Mwezi Huu: Uwe na “Bidii kwa Ajili ya Kazi Njema”!—Tito 2:14.
Dak. 15: “Kwa Nini Tuwe na ‘Bidii kwa Ajili ya Kazi Njema’?” Mazungumzo. Tia ndani maelezo yaliyo katika gazeti la Mnara wa Mlinzi la Juni 1, 2002, ukurasa wa 23, fungu la 17-19.
Dak. 15: “Kuboresha Ustadi Wetu Katika Huduma—Kuhubiri Kupitia Simu ya Mlangoni.” Mazungumzo. Tia ndani mambo yaliyoonwa yaliyotajwa kwenye makala, na uwaombe wahubiri wasimulie mambo mazuri yaliyoonwa walipotoa ushahidi kupitia simu ya mlangoni. Panga kuwe na onyesho fupi la jinsi ya kutumia mapendekezo yaliyotajwa. Ikiwa njia hii ya kuhubiri haitumiwi katika eneo lenu, tafadhali tumieni madokezo yaliyo kwenye makala hii kulingana na hali za eneo lenu, kama vile kuhubiri katika nyumba au maeneo ambayo watu wasioishi humo hawaruhusiwi kuingia.
Wimbo 33 na Sala