Ratiba ya Juma Linaloanza Juni 1
JUMA LINALOANZA JUNI 1
Wimbo 13 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 25 ¶9-16 (Dak. 30)
Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 2 Samweli 16-18 (Dak. 8)
Na. 1: 2 Samweli 17:14-20 (Isizidi dak. 3)
Na. 2: Mungu Anapokubali Mtu Abadili Dini—td 4C (Dak. 5)
Na. 3: Unawezaje Kutumia Vizuri Pesa na Mali Zako?—igw uku. 21 ¶1-4 (Dak. 5)
Mkutano wa Utumishi:
Kichwa cha Mwezi Huu: Wasaidie watu wa namna zote wapate ujuzi sahihi wa kweli.—1 Tim. 2:3, 4.
Dak. 10: Toa Magazeti Mwezi wa Juni. Mazungumzo. Anza kwa onyesho la jinsi magazeti yanavyoweza kutolewa kwa kutumia mapendekezo yaliyo katika ukurasa huu. Halafu, zungumzia mapendekezo hayo.
Dak. 10: Mahitaji ya kutaniko.
Dak. 10: Tulitimiza Nini? Mazungumzo. Waombe wahubiri waeleze jinsi walivyonufaika kwa kutumia madokezo yaliyo kwenye makala “Kuboresha Ustadi Wetu Katika Huduma—Kumhubiria Mtu Anayezungumza Lugha Nyingine.” Waombe wahubiri wasimulie mambo yaliyoonwa yenye kutia moyo.
Wimbo 25 na Sala