Ratiba ya Juma Linaloanza Julai 13
JUMA LINALOANZA JULAI 13
Wimbo 75 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 27 ¶10-18 (Dak. 30)
Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 1 Wafalme 9-11 (Dak. 8)
Na. 1: 1 Wafalme 9:24–10:3 (Isizidi dak. 3)
Na. 2: Punguza Mahangaiko kwa Kufuata Neno la Mungu—igw uku. 24 ¶4–uku. 25 ¶2 (Dak. 5)
Na. 3: Kurudi kwa Kristo Hutambuliwa kwa Mambo Yanayoonekana—td 17B (Dak. 5)
Mkutano wa Utumishi:
Kichwa cha Mwezi Huu: “Nendeni mkafanye wanafunzi.”—Mt. 28:19, 20.
Dak. 10: Nendeni Mkafanye Wanafunzi. Hotuba inayotegemea kichwa cha mwezi huu. Tia ndani mambo machache yaliyo katika kitabu ‘Njoo Uwe Mfuasi Wangu,’ kwenye ukurasa wa 87-89. Pitia baadhi ya sehemu za Mkutano wa Utumishi, na uzungumzie jinsi zinavyohusiana na kichwa cha mwezi huu.
Dak. 10: Walitafuta Fursa za Kuanzisha Funzo la Biblia. Mazungumzo yanayotegemea Kitabu cha Mwaka—2015, ukurasa wa 55, fungu la 1 hadi ukurasa wa 56, fungu la 1; na ukurasa wa 69, fungu la 2 hadi ukurasa wa 70, fungu la 1. Waombe wasikilizaji waeleze mambo waliyojifunza.
Dak. 10: “Kazia Uangalifu Kazi ya Kufanya Wanafunzi.” Maswali na majibu. Mhoji kwa ufupi mhubiri mmoja au wawili ambao hupata matokeo mazuri wanapoanzisha na kuongoza mafunzo ya Biblia. Wamepata shangwe gani kwa kumsaidia mtu fulani kujifunza kweli?
Wimbo 16 na Sala