Ratiba ya Juma Linaloanza Julai 20
JUMA LINALOANZA JULAI 20
Wimbo 73 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 27 ¶19-22, sanduku kwenye uku. 279 (Dak. 30)
Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 1 Wafalme 12-14 (Dak. 8)
Na. 1: 1 Wafalme 12:21-30 (Isizidi dak. 3)
Na. 2: Wakristo Hawawajibiki Kushika Sabato—td 28A (Dak. 5)
Na. 3: Biblia Inaweza Kuwasaidiaje Waume na Akina Baba?—igw uku. 26 ¶1-2 (Dak. 5)
Mkutano wa Utumishi:
Kichwa cha Mwezi Huu: “Nendeni mkafanye wanafunzi.”—Mt. 28:19, 20.
Dak. 20: Wasaidie Watoto Wako Wawe Wanafunzi kwa Kutumia Hadithi za Biblia Zilizochorwa. Mazungumzo yanayotegemea hadithi ya Biblia iliyochorwa, “Mungu Amtuma Musa Nchini Misri.” (Tembelea Tovuti ya jw.org/sw, na utazame chini ya MAFUNDISHO YA BIBLIA > WATOTO.) Onyesha hadithi hiyo ili watazamaji wafuatane nawe unapoizungumzia. Ikiwa inawezekana waombe watoto wasome sehemu za kila mhusika. Baadaye, waalike jukwaani watoto ambao umepata idhini kutoka kwa wazazi wao, ili wazungumzie pamoja maswali yaliyo katika sanduku lenye kichwa, “Tunajifunza Nini Kutokana na Hadithi Hii?” Malizia kwa kuwatia moyo wazazi watumie hadithi hizo kuwasaidia watoto wao kuwa wanafunzi. Ikiwa haiwezekani kutumia Tovuti ya jw.org/sw, zungumzia jinsi tunavyoweza kuwafundisha watoto kwa kutumia picha zilizo katika kitabu Hadithi za Biblia au Jifunze Kutoka kwa Mwalimu Mkuu.
Dak. 10: Sanduku la Swali. Mazungumzo.
Wimbo 66 na Sala