Ratiba ya Juma Linaloanza Agosti 17
JUMA LINALOANZA AGOSTI 17
Wimbo 5 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 29 ¶1-10 (Dak. 30)
Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 2 Wafalme 1-4 (Dak. 8)
Na. 1: 2 Wafalme 1:11-18 (Isizidi dak. 3)
Na. 2: “Mtu Akiisha Kuokolewa, Ameokolewa Sikuzote” Si Wazo la Kimaandiko—td 42B (Dak. 5)
Na. 3: Mambo Tunayopaswa Kufanya Ili Tumkaribie Mungu—igw uku. 28 ¶5–uku. 29 ¶3 (Dak. 5)
Mkutano wa Utumishi:
Kichwa cha Mwezi Huu: “Mimi na nyumba yangu, tutamtumikia Yehova.” —Yos. 24:15.
Dak. 30: “Maneno Haya . . . Lazima Yawe Moyoni Mwako.” Maswali na majibu. Tumia habari iliyo katika fungu la kwanza na la mwisho ili kutoa utangulizi na umalizio mfupi.
Wimbo 88 na Sala