Ratiba ya Juma Linaloanza Novemba 30
JUMA LINALOANZA NOVEMBA 30
Wimbo 94 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
ia sura ya 3 ¶14-21, sanduku kwenye uku. 30, mambo ya kufikiria kwenye uku. 32 (Dak. 30)
Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 2 Mambo ya Nyakati 6-9 (Dak. 8)
Na. 1: 2 Mambo ya Nyakati 6:22-27 (Isizidi dak. 3)
Na. 2: Mwenendo Mpotovu ni Jambo Zito Kadiri Gani? (Dak. 5)
Na. 3: Mungu na Kristo ni Kitu Kimoja Katika Maana Gani?—td 39C (Dak. 5)
Mkutano wa Utumishi:
Kichwa cha Mwezi Huu: “Mimi nilipanda, Apolo akatia maji, lakini Mungu akaendelea kuikuza.”—1 Kor. 3:6.
Dak. 10: Toa Magazeti Mwezi wa Desemba. Mazungumzo. Anza kwa onyesho la jinsi magazeti yanavyoweza kutolewa kwa kutumia mapendekezo yaliyo kwenye ukurasa huu. Kisha changanua mapendekezo hayo.
Dak. 10: Mahitaji ya kutaniko.
Dak. 10: Tulipata Matokeo Gani? Mazungumzo. Waombe wahubiri waeleze jinsi walivyonufaika kwa kutumia mapendekezo yaliyotolewa katika makala “Kuboresha Ustadi Wetu Katika Huduma—Kutoa kitabu Biblia Inafundisha.” Waombe wasimulie mambo yaliyoonwa yenye kutia moyo.
Wimbo 141 na Sala
Kikumbusho: Tafadhali sikilizeni kwanza muziki, kisha mwimbe wimbo huo mpya.