Habari Kuu za Utumishi
Uganda: Tunafurahi kwamba kulikuwa na kilele kipya cha wahubiri 6,861 mwezi wa Machi 2015. Pia, kulikuwa na ongezeko la asilimia 6.4 la mafunzo ya Biblia ikilinganishwa na mwezi huohuo mwaka uliopita. Inatia moyo sana kuona Yehova akibariki kazi ya kufanya wanafunzi!—Mt. 28:19, 20.