Ratiba ya Juma Linaloanza Desemba 14
JUMA LINALOANZA DESEMBA 14
Wimbo 50 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
ia sura ya 4 ¶16-31, mambo ya kufikiria kwenye uku. 41 (Dak. 30)
Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 2 Mambo ya Nyakati 15-19 (Dak. 8)
Na. 1: 2 Mambo ya Nyakati 16:1-9 (Isizidi dak. 3)
Na. 2: Ukaldayo Ilikuwa Wapi, na Wakaldayo Walikuwa Nani? (Dak. 5)
Na. 3: Mungu Hasababishi Taabu za Ulimwengu—td 37A (Dak. 5)
Mkutano wa Utumishi:
Kichwa cha Mwezi Huu: “Lazima tuingie katika Ufalme wa Mungu kupitia dhiki nyingi.” —Matendo 14:22.
Dak. 30: “Tembea kwa Imani, Si kwa Kuona.” Maswali na majibu. Tumia habari iliyo katika fungu la kwanza na la mwisho ili kutoa utangulizi na umalizio mfupi. Mahali ambapo video haipatikani, zungumzia habari kutoka makala “Tembea kwa Imani, Si kwa Kuona!” katika gazeti la Mnara wa Mlinzi la Septemba 15, 2005, ukurasa wa 16-20.
Wimbo 133 na Sala