Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb16 Januari uku. 2
  • Januari 4-10

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Januari 4-10
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo (2016)
  • Vichwa vidogo
  • BORESHA HUDUMA YAKO
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo (2016)
mwb16 Januari uku. 2

Januari 4-10

2 MAMBO YA NYAKATI 29-32

  • Wimbo 114 na Sala

  • Utangulizi (Isizidi dak. 3)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

  • “Jitihada Nyingi Zinahitajiwa Ili Kuendeleza Ibada ya Kweli”: (Dak. 10)

    • 2Nya 29:10-17—Hezekia alikuwa mwenye bidii katika kurudisha ibada ya kweli

    • 2Nya 30:5, 6, 10-12—Hezekia anawakaribisha watu wote wenye mioyo minyoofu wakusanyike kwa ajili ya ibada

    • 2Nya 32:25, 26—Hezekia anaacha majivuno na kuwa mnyenyekevu (w05 10/15 25 ¶20)

  • Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)

    • 2Nya 29:11—Hezekia aliwekaje mfano mzuri kuhusiana na mambo aliyotanguliza? (w13 11/15 17 ¶6-7)

    • 2Nya 32:7, 8—Ni hatua gani inayofaa zaidi tunayoweza kuchukua ili kujitayarisha kwa ajili ya hali ngumu za wakati ujao? (w13 11/15 20 ¶17)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili unanifundisha nini kumhusu Yehova?

    • Ni mambo gani katika usomaji wa Biblia wa juma hili ninayoweza kutumia katika huduma ya shambani?

  • Usomaji wa Biblia: 2Nya 31:1-10 (Isizidi dak. 4)

BORESHA HUDUMA YAKO

  • Uwe Tayari Kutoa Machapisho Mwezi Huu: (Dak. 15) Mazungumzo. Onyesha sehemu ya kwanza ya video ya Mapendekezo ya Kutoa Mnara wa Mlinzi, halafu uzungumzie mambo makuu. Kazia jinsi mhubiri alivyoweka msingi wa ziara ya kurudia. Fanya vivyo hivyo pia ukitumia sehemu ya pili ya video ya Mapendekezo ya Kutoa Mnara wa Mlinzi na broshua Habari Njema. Rejelea makala yenye kichwa “Jinsi ya Kuongoza Funzo kwa Kutumia Broshua Habari Njema.” Watie moyo wahubiri waandike utangulizi wao wenyewe. Ikiwa video hiyo haipatikani, panga kuwe na onyesho.

MAISHA YA MKRISTO

  • Wimbo 127

  • “Pendeleo Letu la Kujenga na Kudumisha Majumba ya Ibada ya Kweli”: (Dak. 15) Mazungumzo. Waombe wale ambao wamewahi kushiriki katika ujenzi wa Majumba ya Ufalme wasimulie jinsi walivyopata shangwe. Mhoji kwa ufupi ndugu ambaye husimamia usafi na udumishaji wa Jumba la Ufalme kuhusu mipango ya kutaniko.

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: ia sura ya  6 ¶1-14 (Dak. 30)

  • Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza, na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)

  • 142 na Sala

    Kikumbusho: Tafadhali sikilizeni kwanza muziki, kisha mwimbe wimbo huo mpya.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki