HAZINA ZA NENO LA MUNGU | 2 MAMBO YA NYAKATI 33-36
Yehova Huthamini Toba ya Kweli
Makala Iliyochapishwa
MANASE
Yehova aliruhusu atekwe na Waashuru na kupelekwa Babiloni akiwa amefungwa pingu
UTAWALA KABLA YA KUTEKWA
Alijenga madhabahu ya miungu ya uwongo
Aliwatoa dhabihu watoto wake
Aliwaua watu wasio na hatia
Aliendeleza mazoea ya kuwasiliana na pepo katika taifa lote
UTAWALA BAADA YA KUWEKWA HURU
Alijinyenyekeza sana
Alisali kwa Yehova; alitoa dhabihu
Aliondoa madhabahu ya miungu ya uwongo
Aliwahimiza Waisraeli wamtumikie Yehova
YOSIA
KIPINDI CHOTE CHA UTAWALA WAKE
Alimtafuta Yehova
Alisafisha Yuda na Yerusalemu
Alirekebisha nyumba ya Yehova na kupata kitabu cha Sheria