Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb16 Januari uku. 5
  • Januari 18-24

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Januari 18-24
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo (2016)
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo (2016)
mwb16 Januari uku. 5

Januari 18-24

EZRA 1-5

  • Wimbo 85 na Sala

  • Utangulizi (Isizidi dak. 3)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

  • “Yehova Hutimiza Ahadi Zake”: (Dak. 10) [Onyesha video yenye kichwa Utangulizi wa Kitabu cha Ezra.]

    • Ezr 3:1-6—Sikuzote Yehova hutimiza unabii wake (w06 1/15 19 ¶3)

    • Ezr 5:1-7—Yehova anaweza kuongoza mambo ili watu wake wafanikiwe (w06 1/15 19 ¶4; w86-E 1/15 9 ¶2; w86-E 2/1 29 sanduku)

  • Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)

    • Ezr 1:3-6—Kwa nini si lazima kwamba Waisraeli ambao hawakujitolea kurudi Yerusalemu walikuwa na imani dhaifu? (w06 1/15 17 ¶5; 19 ¶2)

    • Ezr 4:1-3—Kwa nini walikataa msaada? (w06 1/15 19 ¶4)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili unanifundisha nini kumhusu Yehova?

    • Ni mambo gani katika usomaji wa Biblia wa juma hili ninayoweza kutumia katika huduma ya shambani?

  • Usomaji wa Biblia: Ezr 3:10–4:7 (Isizidi dak. 4)

BORESHA HUDUMA YAKO

  • Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 2) Toa magazeti kwa kuzungumzia makala ya mwisho ya gazeti la Mnara wa mlinzi la karibuni. Weka msingi wa ziara ya kurudia.

  • Ziara ya Kurudia: (Isizidi dak. 4) Panga kuwe na onyesho la jinsi ya kufanya ziara ya kumrudia mtu ambaye alifurahia mazungumzo yetu tulipozungumzia makala ya mwisho ya gazeti la Mnara wa Mlinzi la karibuni. Weka msingi wa ziara inayofuata.

  • Funzo la Biblia: (Isizidi dak. 6) Panga kuwe na onyesho la funzo la Biblia. (bh 20-21 ¶6-8)

MAISHA YA MKRISTO

  • Wimbo 40

  • “Mtaongezewa Hivi Vitu Vingine Vyote”: (Dak. 5) Hotuba inayotegemea andiko la Mathayo 6:33 na Luka 12:22-24. Waombe wahubiri waeleze jinsi ambavyo Yehova alitimiza ahadi yake ya kuwaandalia mahitaji yao walipotanguliza Ufalme.

  • Usemi Wako—Je, Unamaanisha “‘Ndiyo’ na pia ‘Siyo’”?: (Dak. 10) Mazungumzo. (w14 3/15 30-32)

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: ia sura ya 7 ¶1-14 (Dak. 30)

  • Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza, na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)

  • Wimbo 41 na Sala

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki