Februari 29–Machi 6
ESTA 1-5
Wimbo 86 na Sala
Utangulizi (Isizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Esta Aliwatetea Watu wa Mungu”: (Dak. 10)
[Onyesha video yenye kichwa Utangulizi wa Esta.]
Est 3:5-9—Hamani alitaka kuwaangamiza watu wa Mungu (ia 131 ¶18-19)
Est 4:11–5:2—Imani ya Esta ilikuwa yenye nguvu kushinda woga wake wa kifo (ia 125 ¶2; 134 ¶24-26)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
Est 2:15—Esta alionyeshaje sifa ya kiasi na kujizuia? (w06 3/1 9)
Est 3:2-4—Huenda ni kwa nini Mordekai alikataa kumwinamia Hamani? (ia 131 ¶18)
Usomaji wa Biblia wa juma hili unanifundisha nini kumhusu Yehova?
Ni mambo gani katika usomaji wa Biblia wa juma hili ninayoweza kutumia katika huduma ya shambani?
Usomaji wa Biblia: Est 1:1-15 (Isizidi dak. 4)
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 2) Mwonyeshe mwenye nyumba broshua Msikilize Mungu. Weka msingi wa ziara ya kurudia.
Ziara ya kurudia: (Isizidi dak. 4) Panga kuwe na onyesho la jinsi ya kufanya ziara ya kumrudia mtu aliyepokea broshua Msikilize Mungu, na mzungumzie ukurasa wa 2-3. Weka msingi wa ziara inayofuata.
Funzo la Biblia: (Isizidi dak. 6) Panga kuwe na onyesho la funzo la Biblia kwa kutumia broshua Msikilize Mungu Uishi Milele ukurasa wa 4-5 unapomrudia mwenye nyumba aliyekubali broshua Msikilize Mungu kwenye ziara ya kwanza. (km 7/12 2-3 ¶4)
MAISHA YA MKRISTO
Mahitaji ya kutaniko: (Dak. 10)
Unanufaikaje na Mpangilio Mpya wa Mkutano na Daftari la Mkutano?: (Dak. 5) Mazungumzo. Waombe wasikilizaji waeleze jinsi walivyonufaika kibinafsi na mkutano huo mpya. Watie moyo wote watayarishe vizuri ili wafaidike kikamili.
Funzo la Biblia la Kutaniko: ia sura ya 10 ¶1-11, sanduku kwenye uku. 86 “Ukame wa Siku za Eliya Ulichukua Muda Gani?” (Dak. 30)
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza, na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 149 na Sala