Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb16 Februari uku. 7
  • Februari 29–Machi 6

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Februari 29–Machi 6
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo (2016)
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo (2016)
mwb16 Februari uku. 7

Februari 29–Machi 6

ESTA 1-5

  • Wimbo 86 na Sala

  • Utangulizi (Isizidi dak. 3)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

  • “Esta Aliwatetea Watu wa Mungu”: (Dak. 10)

    • [Onyesha video yenye kichwa Utangulizi wa Esta.]

    • Est 3:5-9—Hamani alitaka kuwaangamiza watu wa Mungu (ia 131 ¶18-19)

    • Est 4:11–5:2—Imani ya Esta ilikuwa yenye nguvu kushinda woga wake wa kifo (ia 125 ¶2; 134 ¶24-26)

  • Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)

    • Est 2:15—Esta alionyeshaje sifa ya kiasi na kujizuia? (w06 3/1 9)

    • Est 3:2-4—Huenda ni kwa nini Mordekai alikataa kumwinamia Hamani? (ia 131 ¶18)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili unanifundisha nini kumhusu Yehova?

    • Ni mambo gani katika usomaji wa Biblia wa juma hili ninayoweza kutumia katika huduma ya shambani?

  • Usomaji wa Biblia: Est 1:1-15 (Isizidi dak. 4)

BORESHA HUDUMA YAKO

  • Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 2) Mwonyeshe mwenye nyumba broshua Msikilize Mungu. Weka msingi wa ziara ya kurudia.

  • Ziara ya kurudia: (Isizidi dak. 4) Panga kuwe na onyesho la jinsi ya kufanya ziara ya kumrudia mtu aliyepokea broshua Msikilize Mungu, na mzungumzie ukurasa wa 2-3. Weka msingi wa ziara inayofuata.

  • Funzo la Biblia: (Isizidi dak. 6) Panga kuwe na onyesho la funzo la Biblia kwa kutumia broshua Msikilize Mungu Uishi Milele ukurasa wa 4-5 unapomrudia mwenye nyumba aliyekubali broshua Msikilize Mungu kwenye ziara ya kwanza. (km 7/12 2-3 ¶4)

MAISHA YA MKRISTO

  • Wimbo 71

  • Mahitaji ya kutaniko: (Dak. 10)

  • Unanufaikaje na Mpangilio Mpya wa Mkutano na Daftari la Mkutano?: (Dak. 5) Mazungumzo. Waombe wasikilizaji waeleze jinsi walivyonufaika kibinafsi na mkutano huo mpya. Watie moyo wote watayarishe vizuri ili wafaidike kikamili.

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: ia sura ya 10 ¶1-11, sanduku kwenye uku. 86 “Ukame wa Siku za Eliya Ulichukua Muda Gani?” (Dak. 30)

  • Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza, na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)

  • Wimbo 149 na Sala

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki