Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb16 Aprili uku. 6
  • Aprili 25–Mei 1

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Aprili 25–Mei 1
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo (2016)
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo (2016)
mwb16 Aprili uku. 6

Aprili 25–Mei 1

AYUBU 33-37

  • Wimbo 50 na Sala

  • Utangulizi (Usizidi dak. 3)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

  • “Rafiki wa Kweli Anatoa Shauri Lenye Kujenga”: (Dak. 10)

    • Ayu 33:1-5—Elihu alimwonyesha heshima Ayubu (w95 2/15 29 ¶3-5)

    • Ayu 33:6, 7—Elihu alikuwa mnyenyekevu na mwenye fadhili (w95 2/15 29 ¶3-5)

    • Ayu 33:24, 25—Elihu alimtia moyo Ayubu, hata alipokuwa akitoa shauri (w11 4/1 23 ¶3; w09 4/15 4 ¶8)

  • Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)

    • Ayu 33:24, 25—Huenda Elihu alikuwa akitaja “fidia” gani? (w11 4/1 23 ¶3-5)

    • Ayu 34:36—Ayubu alijaribiwa kadiri gani, na hilo linatufundisha nini? (w94 11/15 17 ¶10)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili unanifundisha nini kumhusu Yehova?

    • Ni mambo gani katika usomaji wa Biblia wa juma hili ninayoweza kutumia katika huduma ya shambani?

  • Usomaji wa Biblia: Ayu 33:1-25 (Isizidi dak. 4)

BORESHA HUDUMA YAKO

  • Ziara ya Kwanza: Toa mwaliko wa kusanyiko la eneo la 2016 ukitumia pendekezo la kutoa mwaliko huo. (Isizidi dak. 2)

  • Ziara ya Kurudia: fg somo la 12 ¶4-5—Kumrudia mtu aliyekubali mwaliko wa kusanyiko. Weka msingi wa ziara ya kurudia. (Isizidi dak. 4)

  • Funzo la Biblia: jl somo la 11—Mtie moyo mwanafunzi wa Biblia ahudhurie kusanyiko. (Isizidi dak. 6)

MAISHA YA MKRISTO

  • Wimbo 124

  • “Vikumbusho vya Kusanyiko la Eneo”: (Dak. 8) Hotuba. Onyesha video ya Vikumbusho vya Kusanyiko la Eneo (Tembelea Tovuti ya tv.jw.org, tafuta kwenye VIDEO ON DEMAND > OUR ACTIVITIES). Watie moyo wote wafanye mipango mapema ili kuhudhuria siku zote tatu. Taja mipango ya kutaniko ya kusambaza mialiko ya kusanyiko.

  • Mahitaji ya kutaniko: (Dak. 7)

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: ia sura ya 14 ¶1-13 (Dak. 30)

  • Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza, na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)

  • Wimbo 21 na Sala

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki