Julai 18-24
ZABURI 74-78
Wimbo 110 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Kumbuka Matendo ya Yehova”: (Dak. 10)
Zb 74:16; 77:6, 11, 12—Tafakari kazi za Yehova (w15 8/15 10 ¶3-4; w04 3/1 19-20; w03 7/1 10 ¶6-7)
Zb 75:4-7—Kazi za Yehova zinatia ndani kuwachagua wanaume wanyenyekevu ili walitunze kutaniko lake (w06 7/15 11 ¶3; it-1 1160 ¶7)
Zb 78:11-17—Kumbuka jinsi Yehova alivyowasaidia watu wake (w04 4/1 22)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
Zb 78:2—Masihi alitimizaje maneno yanayotajwa katika mstari huu? (w11 8/15 11 ¶14)
Zb 78:40, 41—Kulingana na mistari hii, matendo yetu yanaweza kumwathirije Yehova? (w12 11/1 14 ¶5; w11 7/1 10)
Usomaji wa Biblia wa juma hili unanifundisha nini kumhusu Yehova?
Ni mambo gani katika usomaji wa Biblia wa juma hili ninayoweza kutumia katika huduma ya shambani?
Usomaji wa Biblia: (Isizidi dak. 4) Zb 78:1-21
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 2) wp16.4 16—Eleza kuhusu mpango wa kutoa mchango.
Ziara ya Kurudia: (Isizidi dak. 4) wp16.4 16
Funzo la Biblia: (Isizidi dak. 6) fg somo la 5 ¶6-7
MAISHA YA MKRISTO
Mahitaji ya kutaniko: (Dak. 10)
‘Yehova Aliumba Vitu Vyote’: (Dak. 5) Mazungumzo. Onyesha video inayopatikana kwenye jw.org/sw. ‘Yehova Aliumba Vitu Vyote.’ (Tafuta kwenye MAFUNDISHO YA BIBLIA > WATOTO.) Kisha, waalike jukwaani watoto uliowatayarisha mapema, na uwaulize maswali kuhusu video hiyo.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) ia sura ya 20 ¶1-13
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 73 na Sala