Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb16 Julai uku. 6
  • Kumbuka Matendo ya Yehova

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Kumbuka Matendo ya Yehova
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo (2016)
  • Habari Zinazolingana
  • Jifunze Mengi Zaidi Kumhusu Yehova Kupitia Uumbaji Wake
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2023
  • Mtegemee Yehova Ili Uwe Hodari
    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo (2016)
  • Mambo Makuu Katika Kitabu cha Tatu na cha Nne cha Zaburi
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2006
  • Kitabu Cha Biblia Namba 19—Zaburi
    “Kila Andiko, Lenye Pumzi ya Mungu, Lafaa”
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo (2016)
mwb16 Julai uku. 6

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | ZABURI 74-78

Kumbuka Matendo ya Yehova

Ni muhimu kutafakari mambo mazuri ambayo Yehova ametufanyia

Dada akitafakari alichosoma kwenye Biblia

74:16; 77:6, 11, 12

  • Kutafakari hutusaidia kuelewa mambo tunayosoma katika Neno la Mungu na kuthamini chakula cha kiroho

  • Kutafakari kwa kina kumhusu Yehova hutusaidia kukumbuka kazi zake za ajabu na tumaini ambalo ametuahidi

Kazi za Yehova zinatia ndani mambo yafuatayo:

74:16, 17; 75:6, 7; 78:11-17

  • Uumbaji

  • Kadiri tunavyojifunza kuhusu uumbaji, ndivyo tunavyostaajabishwa na kumheshimu Yehova zaidi

  • Wanaume waliowekwa rasmi kutanikoni

  • Tunapaswa kujinyenyekeza kwa wale ambao Yehova amewachagua ili kuongoza

  • Matendo ya wokovu

  • Kukumbuka matendo ya Yehova ya wokovu kunaimarisha imani yetu kwamba anataka na ana uwezo wa kuwatunza watumishi wake

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki