HAZINA ZA NENO LA MUNGU | ZABURI 26-33
Mtegemee Yehova Ili Uwe Hodari
Kukumbuka matendo ya Yehova ya kuokoa kulimfanya Daudi awe hodari.
Yehova alimwokoa kijana Daudi kutoka kwa simba
Yehova alimsaidia Daudi kuua dubu ili kulinda kondoo wake
Yehova alimtegemeza Daudi alipomuua Goliathi
Ni nini kinachoweza kutusaidia kuwa hodari kama Daudi?
Sala
Kuhubiri
Kuhudhuria mikutano
Funzo la kibinafsi na ibada ya familia
Kuwatia moyo wengine
Kukumbuka jinsi ambavyo Yehova ametusaidia wakati uliopita