HAZINA ZA NENO LA MUNGU | YEREMIA 8-11
Wanadamu Wanaweza Kufanikiwa Tu Wakiongozwa na Yehova
Wanadamu hawana uwezo wala haki ya kujiongoza wenyewe
Kwa sababu wachungaji wa kiroho wa Israeli hawakumtegemea Yehova, watu walitawanywa
Wale waliofuata mwongozo wa Yehova walikuwa na amani, furaha, na ufanisi