Mei 22-28
YEREMIA 44-48
Wimbo 70 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Usiendelee ‘Kujitafutia Makuu’”: (Dak. 10)
Yer 45:2, 3—Mawazo yasiyofaa ya Baruku yalifanya ahuzunike (jr 104-105 ¶4-6)
Yer 45:4, 5a—Yehova alimrekebisha Baruku kwa fadhili (jr 103 ¶2)
Yer 45:5b—Baruku aliokoa uhai wake kwa kukazia fikira mambo muhimu zaidi (w16.07 8 ¶6)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
Yer 48:13—Kwa nini Wamoabu wangeona “aibu kwa sababu ya Kemoshi”? (it-1 430)
Yer 48:42—Kwa nini imani yetu inaimarishwa na tangazo la Yehova la hukumu dhidi ya Moabu? (it-2 422 ¶2)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?
Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo umepata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Isizidi dak. 4) Yer 47:1-7
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak.2) hf—Weka msingi wa ziara ya kurudia.
Ziara ya Kurudia: (Isizidi dak.4) hf—Weka msingi wa ziara inayofuata.
Funzo la Biblia: (Isizidi dak.6) lv 199 ¶9-10 —Mwonyeshe kifupi mwanafunzi jinsi ya kufanya utafiti kuhusu jaribu fulani hususa analokabili.
MAISHA YA MKRISTO
Vijana—Msijitafutie Makuu: (Dak. 15) Onyesha na mzungumzie video Vijana Huuliza—Nitayatumiaje Maisha Yangu?—Kukumbuka Yaliyopita.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) kr “Sehemu ya 4—Ushindi wa Ufalme—Kutetea na Kuithibitisha Kisheria Habari Njema,” sura ya 13 ¶1-10
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 17 na Sala