Juni 12-18
MAOMBOLEZO 1-5
Wimbo 128 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Mtazamo wa Kungojea Unatusaidia Kuvumilia”: (Dak. 10)
[Onyesha video yenye kichwa Utangulizi wa Maombolezo.]
Omb 3:20, 21, 24—Yeremia alionyesha mtazamo wa kungojea na alimtegemea Yehova (w12 6/1 14 ¶3-4; w11 9/15 8 ¶8)
Omb 3:26, 27—Kuvumilia majaribu ya imani kutatusaidia kukabiliana na hali ngumu za wakati ujao (w07 6/1 11 ¶4-5)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
Omb 2:17—Ni “neno” gani hasa ambalo Yehova alitimiza kuhusiana na Yerusalemu? (w07 6/1 9 ¶4)
Omb 5:7—Je, Yehova anawatoza watu hesabu kwa sababu ya makosa ya mababu zao? (w07 6/1 11 ¶1)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?
Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Isizidi dak. 4) Omb 2:20–3:12
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 2) g17.3 jalada—Weka msingi wa ziara ya kurudia.
Ziara ya Kurudia: (Isizidi dak. 4) g17.3 jalada—Mkaribishe kwenye mikutano.
Hotuba: (Isizidi dak. 6) w11 9/15 9-10 ¶11-13—Kichwa: Yehova Ni Fungu Langu.
MAISHA YA MKRISTO
Mahitaji ya Kutaniko: (Dak. 8) Au mnaweza kuzungumzia “Barua Kutoka kwa Baraza Linaloongoza” katika Kitabu cha Mwaka. (yb17 2-5)
Mambo Yaliyotimizwa na Tengenezo: (Dak. 7) Onyesha video ya Juni 2017 ya Mambo Yaliyotimizwa na Tengenezo.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) kr sura ya 13 ¶33-34, sanduku “Ushindi Muhimu Katika Mahakama Kuu Ambao Ulisaidia Kuhubiriwa kwa Ufalme,” sanduku la pitio “Ufalme Ni Halisi Kwako Kadiri Gani?”
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 100 na Sala