Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb17 Juni uku. 2
  • Imani Yako Katika Ahadi za Yehova Ina Nguvu Kadiri Gani?

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Imani Yako Katika Ahadi za Yehova Ina Nguvu Kadiri Gani?
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2017
  • Habari Zinazolingana
  • Mtimizaji wa Ahadi
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2010
  • Yoshua na Akusaidie Wewe Umtumikie Yehova kwa Uhodari!
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1984
  • Aliyokumbuka Yoshua
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2002
  • “Yehova Mungu Wetu Ndiye Sisi Tutatumikia”
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1986
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2017
mwb17 Juni uku. 2

MAISHA YA MKRISTO

Imani Yako Katika Ahadi za Yehova Ina Nguvu Kadiri Gani?

Yoshua na Sulemani walithibitisha kwamba hakuna hata neno moja aliloahidi Yehova ambalo halikutimia. (Yos 23:14; 1Fa 8:56) Uthibitisho wa mashahidi hawa wawili unaimarisha msingi ambao tunaweza kujenga imani yetu.—2Ko 13:1; Tito 1:2.

Yehova alitimizaje ahadi zake katika siku za Yoshua? Tazama pamoja na familia yako drama yenye kichwa ‘Halikukosa Kutimia Hata Neno Moja.’ Kisha chunguzeni maswali yafuatayo: (1) Unaweza kuigaje matendo ya imani ya Rahabu? (Ebr 11:31; Yak 2:24-26) (2) Mfano wa Akani unathibitishaje kwamba kutomtii Mungu kimakusudi hutokeza msiba? (3) Ingawa wanaume wa Gibeoni walikuwa mashujaa, kwa nini walimdanganya Yoshua na kufanya amani na Israeli? (4) Neno la Yehova lilithibitikaje kuwa la kweli wafalme watano wa Waamori walipotisha kushambulia Israeli? (Yos 10:5-14) (5) Yehova amekusaidiaje kwa sababu ya kutanguliza Ufalme wa Mungu na uadilifu wake?—Mt 6:33.

Tunapofikiria mambo yote ambayo Yehova amefanya, anayofanya, na atakayofanya, imani yetu katika ahadi zake itaimarika.—Ro 8:31, 32.

Yoshua

Je, una imani kama ile ya Yoshua?

MASWALI YA KUTAFAKARI:

  • Ni unabii gani wa Biblia ambao unaona ukitimia katika siku zetu?

  • Ni unabii gani wa Biblia unaotarajia kuona ukitimizwa?

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki