Julai 24-30
EZEKIELI 21-23
Wimbo 99 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Ufalme Ni wa Yule Aliye na Haki ya Kisheria”: (Dak. 10)
Eze 21:25—Yule “mkuu mwovu wa Israeli” alikuwa Mfalme Sedekia (w07 7/1 13 ¶11)
Eze 21:26—Nasaba ya wafalme wa ukoo wa Daudi waliotawala Yerusalemu ingekoma (w11 8/15 9 ¶6)
Eze 21:27—Yule aliye na “haki ya kisheria” ni Yesu Kristo (w14 10/15 10 ¶14)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
Eze 21:3—Ni nini ule “upanga” ambao Yehova anauchomoa kutoka katika ala yake? (w07 7/1 14 ¶1)
Eze 23:49—Ni kosa gani linalokaziwa katika sura ya 23, na tunajifunza nini? (w07 7/1 14 ¶6)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?
Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Isizidi dak. 4) Eze 21:1-13
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 2) fg—Toa utangulizi wa video Ni Nini Hutendeka Kwenye Funzo la Biblia kisha uizungumzie (lakini usicheze video hiyo).
Ziara ya Kurudia: (Isizidi dak. 4) bh—Unapozungumza na mtu anayechukua magazeti kwa ukawaida toa utangulizi wa video Ni Nini Hutendeka Kwenye Funzo la Biblia kisha uizungumzie (lakini usicheze video hiyo).
Funzo la Biblia: (Isizidi dak. 6) bh 215 ¶3–216 ¶1
MAISHA YA MKRISTO
“Onyesha Adabu Mlangoni”: (Dak. 15) Mazungumzo yakiongozwa na mwangalizi wa utumishi. Anza kwa kucheza video inayotoa mashauri ya jinsi tunavyopaswa kuwa na adabu mlangoni.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) kr sura ya 15 ¶18-28
Pitia Mambo Makuu Mliyojifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 29 na Sala