HAZINA ZA NENO LA MUNGU | EZEKIELI 21-23
Ufalme Ni wa Yule Aliye na Haki ya Kisheria
Makala Iliyochapishwa
Yesu alikuwa na “haki ya kisheria” ya kuwa na mamlaka ya kifalme ili kutimiza unabii wa Ezekieli.
Masihi alikuja kupitia kabila gani?
Ufalme wa nani ungeendelea kuwepo milele?
Mathayo aliandika ukoo huo wa kisheria kwa kufuata familia ya nani?