HAZINA ZA NENO LA MUNGU | EZEKIELI 1-5
Ezekieli Alifurahia Kutangaza Ujumbe wa Mungu
Katika maono, Yehova alimpa Ezekieli kitabu cha kukunjwa na akamwambia ale. Kufanya hivyo kulimaanisha nini?
Ezekieli alipaswa kuelewa kabisa ujumbe wa Mungu. Kutafakari maneno yaliyokuwa kwenye kitabu hicho cha kukunjwa kungegusa hisia za Ezekieli za ndani kabisa na kumchochea kuhubiri
Kitabu hicho cha kukunjwa kilikuwa kitamu kwa sababu Ezekieli alidumisha mtazamo mzuri kuelekea mgawo wake