Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb17 Juni uku. 5
  • Ezekieli Alifurahia Kutangaza Ujumbe wa Mungu

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Ezekieli Alifurahia Kutangaza Ujumbe wa Mungu
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2017
  • Habari Zinazolingana
  • Jinsi Yehova Anavyotusaidia Kutimiza Huduma Yetu
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2022
  • Mambo Makuu Katika Kitabu cha Ezekieli—I
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2007
  • Sikiliza—Mlinzi wa Yehova Anena!
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1988
  • “Hii Ndiyo Siku ya Siku Zote”
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1988
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2017
mwb17 Juni uku. 5

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | EZEKIELI 1-5

Ezekieli Alifurahia Kutangaza Ujumbe wa Mungu

Katika maono, Yehova alimpa Ezekieli kitabu cha kukunjwa na akamwambia ale. Kufanya hivyo kulimaanisha nini?

2:9–3:2

  • Ezekieli alipaswa kuelewa kabisa ujumbe wa Mungu. Kutafakari maneno yaliyokuwa kwenye kitabu hicho cha kukunjwa kungegusa hisia za Ezekieli za ndani kabisa na kumchochea kuhubiri

3:3

  • Kitabu hicho cha kukunjwa kilikuwa kitamu kwa sababu Ezekieli alidumisha mtazamo mzuri kuelekea mgawo wake

Baada ya kula kitabu cha kukunjwa kilichowakilisha ujumbe wa Mungu, Ezekieli azungumza na wanaume wa Israeli

Kusali ninapojifunza Biblia na kutafakari kutakuwa na matokeo gani kwangu?

Nifanye nini ili nisitawishe mtazamo mzuri kuelekea kazi ya kuhubiri?

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki