Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb23 Julai uku. 3
  • “Kuitetea na Kuithibitisha Kisheria Habari Njema”

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • “Kuitetea na Kuithibitisha Kisheria Habari Njema”
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2023
  • Habari Zinazolingana
  • Kulinda Kisheria Habari Njema
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1998
  • Maamuzi Yanayoonyesha Unamtegemea Yehova
    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2023
  • Sanduku la Swali
    Huduma ya Ufalme—2009
  • Uwe Mwenye Kiasi Inapohusu Mambo Usiyoyajua
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2025
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2023
mwb23 Julai uku. 3
Picha: 1. Gathie na Marie Barnett. 2. Ndugu Kokkinakis akiwa pamoja na wengine katika Mahakama ya Ulaya ya Haki za Binadamu. 3. Mashahidi wa Yehova wakiwa katika Mahakama ya Eneo la Rostov nchini Urusi. 4. Kikundi cha akina ndugu wakiwa nje ya Mahakama ya Kikatiba ya Korea Kusini.

Kokkinakis v. Greece: Droit réservé

Kuanzia juu kushoto kwenda kulia: West Virginia State Board of Education v. Barnette; Kokkinakis v. Greece; Taganrog LRO and Others v. Russia; Cha and Others v. South Korea

MAISHA YA MKRISTO

“Kuitetea na Kuithibitisha Kisheria Habari Njema”

Wapinzani walipojaribu kuwazuia Waisraeli wasijenge upya hekalu, wajenzi hao walifanya yote waliyoweza kuthibitisha haki yao ya kisheria ya kuendelea na kazi hiyo. (Ezr 5:11-16) Vivyo hivyo, Wakristo hufanya yote wawezayo kutetea na kuthibitisha kisheria habari njema. (Flp 1:7) Ili kutimiza hilo, katika mwaka wa 1936 Idara ya Sheria ilianzishwa katika makao makuu ya ulimwenguni pote. Leo, Idara ya Sheria ya Makao Makuu inasimamia kazi ya kutetea masilahi ya Ufalme ulimwenguni pote. Idara hiyo imesaidiaje kazi ya Ufalme na kuwanufaisha watu wa Mungu?

TAZAMENI VIDEO YENYE KICHWA KUTEMBELEA IDARA YA SHERIA YA MAKAO MAKUU, KISHA MJIBU MASWALI YAFUATAYO:

  • Mashahidi wa Yehova wamekabili changamoto zipi?

  • Tumepata ushindi gani wa kisheria? Toa mfano

  • Kila mmoja wetu anaweza kufanya nini ili “kuitetea na kuithibitisha kisheria habari njema”?

  • Katika tovuti yetu, tunaweza kupata wapi habari za kisheria kuwahusu watu wa Mungu na orodha ya Mashahidi wa Yehova ambao wamefungwa kwa sababu ya imani yao?

Unaposhiriki aina fulani ya huduma na wenye mamlaka wakueleze kwamba unavunja sheria, usijaribu kushughulikia jambo hilo kwa kujadiliana nao kuhusu haki zako za kisheria. Badala yake, tii mara moja na kwa upole. Ikiwa yule anayekuambia uache kuhubiri ni ofisa wa polisi, kwa busara mwombe namba yake ya utambulisho na kituo chake cha polisi, ikiwa inawezekana. Kisha wajulishe wazee mara moja, nao watawasiliana na ofisi ya tawi ili kupata msaada zaidi.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki