Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • km 10/09 uku. 3
  • Sanduku la Swali

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Sanduku la Swali
  • Huduma ya Ufalme—2009
  • Habari Zinazolingana
  • “Kuitetea na Kuithibitisha Kisheria Habari Njema”
    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2023
  • ‘Toa Ushahidi Kamili’—Kwa Kuhubiri Katika Nyumba za Ghorofa Zenye Wapangaji
    Huduma Yetu ya Ufalme—2008
  • Tafadhali Watembelee Bila Kukawia
    Huduma Yetu ya Ufalme—2003
  • Mambo Yaliyotarajiwa na Kuhofiwa Kuhusu Polisi
    Amkeni!—2002
Pata Habari Zaidi
Huduma ya Ufalme—2009
km 10/09 uku. 3

Sanduku la Swali

◼ Unapaswa Kufanya Nini Ukiagizwa Uache Kuhubiri?

Katika pindi fulani, polisi wamewafikia wahubiri wakiwa katika huduma na kuwaeleza kwamba wanavunja sheria, kisha wakawaagiza waache kuhubiri. Ukiagizwa uondoke, unapaswa kufanya hivyo mara moja na kwa heshima. (Mt. 5:41; Flp. 4:5) Usijaribu kushughulikia hali hiyo peke yako kwa kuzungumza na polisi kuhusu haki zetu za kisheria. Kama inawezekana, andika namba ya beji ya polisi anayehusika na kituo chake cha kazi, na ufanye hivyo kwa busara. Kisha, waeleze wazee mara moja, nao wawasiliane na ofisi ya tawi kuhusu tukio hilo. Vivyo hivyo, ukiombwa uondoke kwenye majengo fulani na msimamizi, mtunzaji, au mwakilishi wa mwenye majengo hayo, unapaswa kuondoka mara moja, kisha uwaeleze wazee. Unaweza kuepuka matatizo kwa kushughulika na wenye mamlaka kwa njia ya upole na unyenyekevu.—Met. 15:1; Rom. 12:18.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki