MAISHA YA MKRISTO
Uwe Mshikamanifu Mtu wa Ukoo Anapotengwa na Ushirika
Tazameni video Uwe Mshikamanifu kwa Hukumu za Yehova—Waepuke Wakosaji Wasiotubu. Kisha mjibu maswali yafuatayo:
Ni hali gani iliyojaribu ushikamanifu wa wazazi wa Sonja?
Ni nini kilichowasaidia kudumisha ushikamanifu?
Ushikamanifu wao kwa Yehova ulimnufaishaje Sonja?